,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Wednesday, January 28, 2015

Janeth Mlahagwa akiwa na mama yake.

Makongoro Oging’ na Issa Mnally, Kibaha/Uwazi
Janeth Mlahagwa (18) ni mtoto mwenye ulemavu wa ngozi “Albino”, mkazi wa Kijiji cha Mtumbatu, Wilaya ya Gairo mkoani Morogoro ambaye anadai kwamba kifo kilimsonga kutokana na hali yake kuwa mbaya kila kukicha kwa kukosa matibabu na badala yake alikua akipewa vidonge vya kupunguza maumivu.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni katika hospitali binafsi ya upasuaji wa mifupa na viungo cha Burere, wilayani Kibaha kwa Mathias, Mkoa wa Pwani, Janeth alisema kwamba kutokana na umaskini wa wazazi wake ambao ni wakulima wa jembe la mkono alinazimika kupewa vidonge vya kutuliza maumivu ambavyo havijamsaidia.
Janeth ambaye amefuatana na mzazi wake katika hospitali hiyi ni mtoto wa kwanza kati ya watoto sita katika familia yao na watatu kati ya hao ni Albino.

ALIVYOKUTWA KIJIJINI
Akieleza zaidi alikuwa na haya ya kusema:
“ Namshukuru Mungu aliyempeleka Mkurugenzi wa Hospitali ya Berere, Dk. Joseph Theodore Bake ambaye alitembelea kijijini kwetu na kunikuta nikiwa katika hali mbaya na

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi