Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ hivi karibuni alifanyiwa pati ya bethidei ambapo kwenye zoezi la kuwalisha keki mashosti zake, aliwashangaza watu kwa kusema wote atawalisha kwa mdomo ‘staili ya kudendeka’.
‘Amanda’akiwalisha keki mashosti zake.
‘Amanda’akipozi na mdogo wake anayefahamika kwa jina la Sabrina.
Akizungumzia sherehe hiyo Amanda alisema: “Ilikuwa ni siku muhimu sana kwangu na nilifarijika kuona wasanii wengi kama vile Riyama, Esha Buheti, Wastara na wengineo wamejitokeza kufurahi na mimi. Ila kulishana keki vile ni staili ya kinjiwanjiwa, hahaaa!”
0 comments:
Post a Comment