MWIGIZAJI wa kike katika tasnia ya
filamu Bongo Aunty Ezekiel imeripotiwa kupata majeraha katika mkono wake
wa kushoto baada ya kuchimbwa na chupa yenye ncha kali, sakata hilo la
hatari lilitokea Club Billicanas wakati wa show iliyokifanyika hapo
chini ya Madam Wema Sepetu chanzo chetu kimetuhabarisha.
0 comments:
Post a Comment