Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deudedit Nsimeki akiwa ameshikaNoti
bandia ambazo zime kamatwa wakati wa kuuza mahindi katika soko la sodeko
manspaa ya songea
Hyo nimeno ya tembo ambayo yamekamatwa katika kijijicha hanga yakiwa
meno 18 ambayo yalikuwa yakisafirishwa kwenda Dar es salaam
ona watu walivyo kuwa hawana huruma hayo ni meno ya tembo wadogo ambao
walikuwa wakitegemewa kuwa wata kuwa rasilimali ya taifa lakini masikini
wawindaji haramu wame katisha maisha ya tembo hao
Noti bandia zilizo kamatwa manspaa ya songea katika soko la Sodeko, kwa
mjibu wa kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma Amesema kuzijua noti hizo ni
kulingana kwa namba pia noti zina kuwa nyepesi
Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma limefanikiwa kukamata Vipande 18 vya Meno ya Tembo vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki amefanikisha kukamatwa
kwa meno ya Tembo vipande 18 vikiwa kwenye Mfuko wa Salfeti maeneo ya
Hanga Misheni wilaya ya Namtumbo.
0 comments:
Post a Comment