WOGA WA SIASA MBEYA UMEENDELEA HASA KWA MWANASIASA KIJANA CHAGUO LA WENGI MWENYE KUKUBALIKA JIJINI MBEYA AMBAYE PIA NI KATIBU MWENEZI CCM MBEYA MJINI EMMANUEL MBUZA MAAARUFU KAMA MBUZAX KUZUSHIWA HABARI ZA KUKAMATWA NA POLICE ASABUHI HII KWA TUHUMA ZA KUTEKA BLOG HII IMEONGEA NAE NA KUSEMA HAKUNA KITU CHA NAMNA HIYO NI UZUSHI NA ANAJUA UZUSHI HUO UNAENEZWA NA WATU WA CHADEMA AMBAO NDIO WAMEKUA WAOGA NAMBA MOJA KWAKE KWAMBA BILA KUJUA CCM CHAMA AMBACHO KIMEENEA KILA SEHEM ALIMALIZA KWA KUSEMA HAYO
NA HUU NDO UJUMBE ULIONEZWA KUPIPITIA SIMU ZA MKONONI ................
K/MWENEZI (W) CCM MBEYA MJINI MBUZA ANASHIKILIWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA
KUTEKA NA KUTESA WATU KTK KATA YA IYELA ASUBUHI YA LEO. TUMA UJUMBE KWA
WATU 100
PIA SHUHUDA JUNIOR MATUKUTA MWINGINE ALIPO WASILIANA NA BLOGU HII ALIFUNGUKA BAALAAAA HIVI
Kaka huo ni uzushi na uongo.
Me nimeamkia Iyela leo kuhakikisha kunakuwepo na Amani na usalama pamoja na kuzuia Hujuma.
Hawa jamaa zetu ni waongo na waleta propaganda tu hasa kwa upande wa sms ndo jadi yao toka tumeanza Kampeni!
Me nimeamkia Iyela leo kuhakikisha kunakuwepo na Amani na usalama pamoja na kuzuia Hujuma.
Hawa jamaa zetu ni waongo na waleta propaganda tu hasa kwa upande wa sms ndo jadi yao toka tumeanza Kampeni!

0 comments:
Post a Comment