"THE
MBONI SHOW leo inatimiza mwaka tangu ianze kuruka hewani EATV.
Namshukuru sana MWENYEZI MUNGU kwa kuweza kunifikisha hapa, nakuomba
MWENYEZI MUNGU uzidi kunipa nguvu, uadilifu, na maisha marefu ili niweze
kufanya mazuri kwa ajili ya nchi yangu. Asanteni sana wale wote
mlinisaidia tangu mwanzo mpaka sasa na tuzidi kushikamana ili nizidi
kufika mbali. Asante saaaana mama angu na familia yangu yote kwa
ujumla, Director wangu GEORGE TYSON, Kaka angu WASIWASI, Cuzn yangu
HALUA, rafik zangu ndugu zangu SHAMIM, HALIMA, ma up artist wangu MAXEL,
Cuzn yangu DIANA wa American Nails na EATV ni wengi cwez wataja wote
lkn juen wote mnathamani kubwa sana kwangu. Na nawapenda wote. Mungu
saidia THE MBONI SHOW idumu."
0 comments:
Post a Comment