Hatimaye mtangazaji wa Clouds FM, Millard Ayo aliyepo jijini
Johannesburg, Afrika Kusini amefanikiwa kuongea na M TO THE P ambaye
amelazwa kwenye hospitali ya St. Helen jijini humo. Kulikuwepo na tetesi
kuwa msanii huyo aliyekuwa pamoja na Mangwea naye alifariki.
Akiongea kwa shida, M to the P amewaomba watanzania wamuombee. Amesema bado anasikia maumivu ya kichwa na sehemu za kifua
0 comments:
Post a Comment