,./.,

,,

... ...

';';';';

''=

==

adv
Drop Down MenusCSS Drop Down MenuPure CSS Dropdown Menu

Thursday, November 8, 2012

FACEBOOK YAINGIZA NDOA YA MAIMATHA KWENYE TUNDU LA SINDANO

 
Na Gladness Mallya
NDOA ya Mtangazaji wa B&M, Maimartha Jesse inadaiwa kutibuka baada ya Maimartha feki kuibuka kwenye Mtandao wa Kijamii wa Facebook na kuomba fedha kwa watu akidai ana matatizo makubwa ya kifamilia.
Mtangazaji wa B&M, Maimartha Jesse.
“Nilipigiwa simu na kuambiwa ishu hiyo, nikajitahidi kufanya uchunguzi wa kina ambapo nilimuomba huyo aliyetumiwa ujumbe na kutoa fedha anipe namba ya Maimartha, nikamtuma mtu akaongea naye, anaitwa Nasra,” alisema Mai.
Aidha, mwanadada huyo alisema anamsaka Nasra ili amkamate ‘laivu’ kwa vile ishu hiyo imechafua hali ya hewa ndani ya ndoa yake ambapo mumewe anaamini ni yeye na si Maimartha feki.

0 comments:

Post a Comment

ufunguzi