Tunajivunia na Kwetu Fashion Designer by Missy Temeke kwa maandalizi
mazuri yaliopendeza kiustadi katika Dinner Fundraiser, iliofanyika jana
Jumapili Sept 23, 2012, ndani ya ukumbi wa Keystone Room East Evenue, NW
Washington DC Nchini Marekani na kuitangaza zaidi Nchi yake Tanzania
kwa ubunifu wa mitindo ya kinyumbani, pamoja na kujitolea rasmi kuisadia
nchi yake!
Mwanamitindo Mbunifu wa Kwetu Fashion, Missy Temeke ambae amejitolea
kukuza fani yake kwa ubunifu wa mitindo ya kinyumbani kwa kushirikiana
na wadau mbali mbali kumuunga mkono katika Maonyesho ya ubunifu wa nguo
zake katika Dinner Fundraiser ya kusaidia Nchini Tanzania
Master of Ceremony: Siku zote sherehe kamahizi huwa zinaendeshwa na
wabunifu wenye funi na kipanji cha kuongea Bwana Emmanuel Muganda ndie
alikuwa MC wa jukwa la Ketu Fashion pamoja Dinner Fundraiser siku hiyo
Muziki: Ufunguzi wa dua kilichofuatia, kundi zima la Bethel Swahili Revival Choir likitumbuiza kwa nyimbo za Mungu.
Mgeni rasmi: Kaimu Balozi wa Tanzania Mhe. Lilly Munanka alikuwa mgeni rasmi wa Dinner na Fashion by Missy Temeke
Muonekano wa nyuma wa vazi la Jioni
Mtindo ya Kimasai na Kwetu Fashion by Missy Temeke.
Vazi la kutoka Usiku wa maraha usiku wa chombeza time
Kwa wale wenye Ofisi ni Vazi la Ofisini ama Dinner Time
0 comments:
Post a Comment