Posted by Williammalecela.com on Tuesday, September 25, 2012
 |
| Naibu Katibu Mkuu aliyemaliza muda wake,Dr Asha-Rose Migiro(wa nne
kulia)akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali kwenye picha
ya pamoja baada ya kufungua mkutano wa mawaziri wa serikali za mitaa
wa Afrika Mashariki mjini Arusha. |
 |
| Viongozi mbalimbali wakiwa kwenye mkutano wa mawaziri wa serikali
za mitaa wa Afrika Mashariki kwenye hoteli ya Impala mjini Arusha |
 |
| Naibu Katibu Mkuu aliyemaliza muda wake,Dr Asha-Rose Migiro(wa
tatu kushoto)akisalimiana na Afisa elimu Manispaa ya Arusha,Omary
Mkombole mara baada ya kuwasili kufungua mkutano wa mawaziri wa serikali
za mitaa wa Afrika Mashariki mjini Arusha. |
0 comments:
Post a Comment