Makomandoo wa Chadema wakimburuza na kumtoa nje kwa nguvu Mama ambaye ni mzazi mwenye watoto na wajukuu, eti kwa sababu tu ni Mkuu Wilaya sasa wanamtaka aisaidie Chadema kwa nguvu, vitisho na mabavu, kwenye uchaguzi uiopita wa ubunge wa Igunga.
Wednesday, August 22, 2012
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

0 comments:
Post a Comment