"mambo
vipi ndugu zangu me nipo poa wala sijaumia nipo mzuka kama kawa,
kutokana na game ya juzi mimi na mchumia tumbo,kikubwa kilichonikwamisha
ni ring ilikuwa imejaa sana maji na matope,tokea game za utangulizi
watu walikuwa wananguka tu hovyo kwa wale wanaojua boxing na sheria
waliona kitu kilichotokea ni sawa sawa kama tulikuwa tunapigana kwenye
swiming pool na mimi nimechelewa kufika pale mchumia tumbo alikuwa
amewai kufika mapema na amesha usoma uwanja kama unateleza mimi
nilipofika kwenye ring nikamwambia refa kama ring inateletaza akaniambia
pigana hivyo ivyo kosa langu kubwa nilipomfuata kwenda kumshambulia
mchumia tumbo niliteleza na kukutana nae then nikaenda chini, ndio
maana yeye alikuwa amesimama seem moja tu na mimi ndio nilikuwa
namfuata kumshambulia wkti naenda kumshambulia ndio nilikuwa nateleza na
kukutana na ngumi yake ni bora kama angenipiga seem yenye mandalizi
mazuri ningekubali si ni sport coz asiekubali kushindwa sio
mshindani
ila sio pale kwenye matope game imeandaliwa kienyeji tu ubingwa wa tz
unafanyika kwenye matope sijawai kuona ndio maana ngumi za tz aziwezi
kufika popote,nilikwenda kupigana sio sababu ya kupata pesa no
nilipigana kama mimi ni mwanamichezo,ila asante sana kwa wale fans wangu
wote walionisurport tokea mwanzo, boxing ni mchezo wa upendo na nidhamu
sana mimi ni mpiganaji na hii sio game yangu ya kwanza kupigana
nitaendelea kupigana mwanzo mwisho wala sikatishwi tamaa speed yangu ni
ile ile tu,na game yangu dhidi ya mchumia tumbo itarudiwa sponser naomba
wajitokeze tupigane sehemu poa na tuonyeshe sport tena niwape raha
fans wangu kama game zangu za mwanzo sio game ndani ya swiming pool
tupo pamoja sana ndugu zangu kushindwa sport sio kushindwa maisha ni
ujanja wa akili tu tupo pamoja sana wanajeshi wangu, amout."
· · Share · 54 minutes ago near Dar es Salaam ·
"mambo
vipi ndugu zangu me nipo poa wala sijaumia nipo mzuka kama kawa,
kutokana na game ya juzi mimi na mchumia tumbo,kikubwa kilichonikwamisha
ni ring ilikuwa imejaa sana maji na matope,tokea game za utangulizi
watu walikuwa wananguka tu hovyo kwa wale wanaojua boxing na sheria
waliona kitu kilichotokea ni sawa sawa kama tulikuwa tunapigana kwenye
swiming pool na mimi nimechelewa kufika pale mchumia tumbo alikuwa
amewai kufika mapema na amesha usoma uwanja kama unateleza mimi
nilipofika kwenye ring nikamwambia refa kama ring inateletaza akaniambia
pigana hivyo ivyo kosa langu kubwa nilipomfuata kwenda kumshambulia
mchumia tumbo niliteleza na kukutana nae then nikaenda chini, ndio
maana yeye alikuwa amesimama seem moja tu na mimi ndio nilikuwa
namfuata kumshambulia wkti naenda kumshambulia ndio nilikuwa nateleza na
kukutana na ngumi yake ni bora kama angenipiga seem yenye mandalizi
mazuri ningekubali si ni sport coz asiekubali kushindwa sio
mshindani
ila sio pale kwenye matope game imeandaliwa kienyeji tu ubingwa wa tz
unafanyika kwenye matope sijawai kuona ndio maana ngumi za tz aziwezi
kufika popote,nilikwenda kupigana sio sababu ya kupata pesa no
nilipigana kama mimi ni mwanamichezo,ila asante sana kwa wale fans wangu
wote walionisurport tokea mwanzo, boxing ni mchezo wa upendo na nidhamu
sana mimi ni mpiganaji na hii sio game yangu ya kwanza kupigana
nitaendelea kupigana mwanzo mwisho wala sikatishwi tamaa speed yangu ni
ile ile tu,na game yangu dhidi ya mchumia tumbo itarudiwa sponser naomba
wajitokeze tupigane sehemu poa na tuonyeshe sport tena niwape raha
fans wangu kama game zangu za mwanzo sio game ndani ya swiming pool
tupo pamoja sana ndugu zangu kushindwa sport sio kushindwa maisha ni
ujanja wa akili tu tupo pamoja sana wanajeshi wangu, amout."

0 comments:
Post a Comment