Posted by Williammalecela.com on Sunday, July 08, 2012
Leo Uwanja wa Taifa, kwenye pambano la Wabunge wanaopenda Simba na Wabunge wa Yanga, Matokeo Wabunge wa Simba waliwafunga wa Yanga kwa Mabao 3-2, kwa njia ya penalti; hapa ni Waziri Mdogo wa Michezo Mh. Makalla kulia na kushoto ni Super Blogger wa FatherKidevu; Bro Mroki T. Mroki!!
0 comments:
Post a Comment